Helikopta yaanguka nchini Indonesia

Watu 4 wamepoteza maisha na wengine watano kujeruhiwa baada ya kuanguka kwa helikopta ya kijeshi katika jimbo la Java.

Kulingana na gazeti la Kompas, helikopta ya kijeshi ya "Mi-17" ya Urusi, ambayo ina uwezo wa kubeba watu 9, imeanguka wakati wa mazoezi.

Maafisa wa jeshi wamesema kwamba watu 4 wamepoteza maisha na watu 5 wamejeruhiwa katika ajali hiyo, kutokana na sababu ya ambayo haijajulikana bado.

Uchunguzi rasmi juu ya ajali hiyo umeanzishwa.
Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items