Tanzia: Mke wa Babu Tale afariki dunia

TANZIA:  Taarifa za awali ambazo tumepokea, Mke wa Mmoja wa mameneja wa WCB, Hamis Shaban Taletale maarufu @babutale anayejulikana kwa jina maarufu Shammy amefariki dunia Alfajiri ya Leo.

Watu wa karibu na familia ya Hamis Taletale (Babu Tale) wamethibitisha kutokea kwa msiba huo.

Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items