WATU tisa wamefariki baada ya boti la abiria kuzama katika ziwa Tanganyika, Kamanda wa polisi mkoa wa Kigoma Kamishna msaidizi MARTIN OTTIENO amethibitisha.
Kamanda Otieno amesema ajali hiyo imetokea katika eneo la Rasini na kusema kuwa Boti iitwalo "Mv Nzeimana" inalofanya safari zake kati ya Kijiji cha Sibwesa na Ikola limezama ikiwa na abiria 60, ambapo abiria 51 wameokolewa.
Aidha Kamanda OTTIENO amesema chanzo cha ajali hiyo ni upepo mkali uliosababisha boti hilo kukosa muelekeo na hatimaye kupinduka.
Kamanda Otieno amesema ajali hiyo imetokea katika eneo la Rasini na kusema kuwa Boti iitwalo "Mv Nzeimana" inalofanya safari zake kati ya Kijiji cha Sibwesa na Ikola limezama ikiwa na abiria 60, ambapo abiria 51 wameokolewa.
Aidha Kamanda OTTIENO amesema chanzo cha ajali hiyo ni upepo mkali uliosababisha boti hilo kukosa muelekeo na hatimaye kupinduka.
