Nyumbani Godwin Gondwe kuwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke byMuungwana Blog 2 -7/03/2020 02:02:00 PM 0 Rais Magufuli amemhamisha kituo cha kazi aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Handeni Godwin Gondwe ambapo sasa anakwenda kuwa mkuu wa wilaya ya Temeke, akichukua nafasi ya Bw. Felix Jackson ambaye amestaafu . Facebook Twitter