Mboni Masimba achukua fomu ya kuwania Ubunge viti maalum

Mwanahabari, Mboni Masimba leo Julai 15, 2020 amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuwania Ubunge Viti Maalumu Mkoa wa Tanga kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM).
Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items