F Rais wa Burundi amlilia Mkapa "Mungu awape nguvu Watanzani wote" | Muungwana BLOG

Rais wa Burundi amlilia Mkapa "Mungu awape nguvu Watanzani wote"

“Nimehuzunishwa na kifo cha Rais Mstaafu wa Tanzania Benjamin Mkapa, Mungu awape nguvu Watanzani wote, Familia, Rais Magufuli na Waafrika wote kwa kuondokewa na Mpendwa wao” -Rais wa Burundi, Ndayishimiye