TFF yazitaka klabu za mpira wa miguu kufanya usajili kabla ya kufungwa dirisha la usajili

Shilikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF kimezitaka klabu za ligi kuu ya vodacom (VPL), Daraja la pili,na ligi ya wanawake ya serengeti lite kufanya usajili kwa wakati kabla ya kufunwa kwa dirisha la usajili.

Chapisha Maoni

Mpya zaidi Nzee zaidi