Mafuriko yaliotokea nchini Nigeria yamepelekea vifo vya watu 77.
Mvua kali zilizonyesha nchini humo zimepelekea mafuriko yaliosababisha uharibifu.
Idadi ya vifo kutokana na mvua hizo zilizopelekea mafuriko imeripotiwa kuongezeka na kufikia watu 77.
Msemaji wa kitengo kinachohusikana na kutoa huduma ya kwanza katika eneo hilo SEMA, Umar Muhammed ametangaza vifo vya watu wanane na wengine 17 kujeruhiwa kutokana na uharibifu uliopelekea mafuriko hayo.
Idadi ya vifo kutokana na mafuriko hayo inazidi kuongezeka.
Majumba zaidi ya 25 961 yameporomoka na maji ya mafuriko huku ikiripotiwa kuwa mashamba na mazao pia vimeharibiwa na maji katika eneo la hekari zaidi ya 7019.
Msemaji huyo ameendelea kuwa ametolea wito serikali kuomba msaada kwa ajili ya waathirika wa mamfuriko hayo yaliotokea nchini Nigeria kutokana na mvua kali.
0 Comments