Katibu Mkuu Wa Ccm Dr. Bashiru Ally Kesho Kukutana Na Wazee Wa Ccm Zanzibar



Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Bashiru Ally Kakurwa Kesho Jumatatu Oktoba 05, 2020 atazungumza na Wazee wa Zanzibar Kutoka Kisiwandui Mkoa wa Mjini Magharibi, Unguja Kuanzia Saa 8 Mchana ili Kutoa mwenendo wa Kampeni za CCM. 

Chapisha Maoni

Mpya zaidi Nzee zaidi