Kamishna wa Bodi ya Mapato Zanzibar Nd. Joseph Abdalla Meza Kulia akimtembeza maeneo mbali mbali Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mh. Hemed Suleiman Abdalla alipofanya ziara fupi Makao Makuu ya Bodi hiyo Mazizini.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mh. Hemed Suleiman Abdalla akitoa agizo la kupatiwa taarifa ya Wadaiwa sugu wa zrb ndani ya Siku saba ili wachukuliwe hatua.
Meneja wa Kitengo cha Amana ya Siri cha ZRB Bwana Ali Sharif Ali akimuelezea Mheshimiwa Hemed utekelezaji wa majukumu yao katika Kitengo chao.
0 Comments