Magaidi saba wa DAESH wameshambuliwa katika operesheni ya anga iliyotekelezwa na Marekani.
Operesheni hiyo ya anga imetekelezwa Kirkuk nchini Iraq.
Ngome mbili za magaidi hao zimeripotiwa kushambuliwa katika bonde la Shai.
Operesheni dhidi ya shirika la kigaidi la DAESH ilizinduliwa karibu na wilaya ya Havice kusini mwa Kirkuk.
0 Comments