Watuhumiwa 5 wanashikiliwa na jeshi la polisi mkoa wa Njombe kwa tuhuma za kuhusika na wizi wa magari 6 yaliyopatikana mikoa tofauti yanayosadikika yametokana na ujambazi.Kamanda wa polisi mkoa wa Njombe Hamis Issa afunguka.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.....USISAHAU KUSUBSCRIBE
0 Comments