Mwenyezi Mungu hakuumba ubongo dhaifu kwa mwanamke- Rais Samia


 "Mwenyezi Mungu hakuumba ubongo dhaifu kwa mwanamke na ubongo makini kwa mwanaume hapana- Rais Samia

Rais amesema umakini wa mtu huletwa na mazingira aliyolelewa, na akasisitiza kwamba yeye amelelewa kwenye mazingira sahihi na kupata uzoefu kwenye chama chake (@ccmtanzania)

Alisema hayo akisisitiza kwamba hii ni mara yetu ya kwanza kuwa na Rais mwanamke, lakini hatupaswi kuwa shaka yoyote.


Post a Comment

0 Comments