Nyumbani Rais Samia amteua David Kafulil kuwa RC Arusha byMuungwana Blog 3 -5/15/2021 03:36:00 PM 0 Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. David Zacharia Kafulila kuwa mkuu wa Mkoa wa Arusha. Kafulila anachukua nafasi ya Bw. Idd Hassan Kimanta ambaye amestaafu Facebook Twitter