Nyumbani Mej. Jen. Marco Elisha Gaguti ateuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara byMuungwana Blog 3 -5/15/2021 03:38:00 PM 0 Rais Samia amemteua aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Mej. Jen. Marco Elisha Gaguti kuwa Mkuu wa Mkoa wa MtwaraAliyekuwa Mkuu wa Mkoa huo, Gelasius Gasper Byakanwa atapangiwa majukumu mengine Facebook Twitter