Salum Hamduni ateuliwa kuwa mkurugenzi mkuu wa TAKUKURU


Hamduni aliyepandishwa cheo na Rais Samia Suluhu kutoka ACP hadi Kamishna wa Polisi (CP) amechukua nafasi ya Brig. Jen. Mbungo atakayepangiwa majukumu mengine

Chapisha Maoni

Mpya zaidi Nzee zaidi