F Stephen Kagaigai ateuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro | Muungwana BLOG

Stephen Kagaigai ateuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro


Rais Samia Suluhu Hassan amemteua aliyekuwa Katibu wa Bunge la Tanzania, Stephen Kagaigai kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro akichukua nafasi ya Anna Mghwira aliyestaafu

Chapisha Maoni

0 Maoni