Chama cha wanawake wajane Tanzania CCWWT kimewataka akina mama wote ambao ni wajane kutokuwa wanyonge na kusababisha kukosa haki zao za msingi ikiwemo miradhi na kumiliki ardhi ndani nan je ya familia.
Hayo yamebainishwa na mwenyekiti wa chama hicho Tanzania RABIA MOYO wakati akizungumza na wanachama kwenye mkutano mkuu wa mwaka wa tathima ya tangu kuanzishwa kwa chama hicho ambapo hadi sasa chama kina wanachama hai wapatao 62,000.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBSCRIBE
0 Comments