FCC yazindua wiki ya ushindani ''tutakutana na wadau ana kwa ana''


Tume ya Ushindani Tanzania (FCC) imezindua wiki ya ushindani ambapo watatumia fursa hiyo kutoa elimu kwa wadau kutoka sekta mbalimbali nchini ikiwemo wafanyabiashara hasa kujiepusha na vitendo ambavyo vinarudisha nyuma ushindani na maendeleo ya Taifa.

Maadhimisho ya wiki ya ushindani ya mwaka 2023 yanaongozwa na kauli mbiu : Njama baina ya washindani na madhara yake kwa walaji na watumiaji, huku Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji anatarajiwa kuwa mgeni rasmi siku ya Kilele Disemba 5, 2023 Jijini Dar es Salaam.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBSCRIBE

Chapisha Maoni

Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items