CHAMA cha MAPINDUZI CCM kata ya Vingunguti wilayani Ilala ,kimeangusha Mbuyu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)kufuatia aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA kata ya Vingunguti DAVID ANSELIM PAUL kujiunga na Chama Tawala cha Mapinduzi katika mkutano wa hadhara.
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA ) DAVID PAUL alijiunga na chama cha Mapinduzi CCM katika mkutano wa kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya chama ambayo imewasilishwa na Meya wa Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam Omary Kumbilamoto ,ambaye ni Diwani wa kata ya Vingunguti.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.......USISAHAU KUSUBSCRIBE
0 Comments