F VIDEO: Kiongozi CHADEMA avua gwanda na kutimkia CCM | Muungwana BLOG
https://c2p.cleverwebserver.com/dashboard/6a0bec4b-79ba-11ef-ad2b-06f0639468d1

VIDEO: Kiongozi CHADEMA avua gwanda na kutimkia CCM


CHAMA cha MAPINDUZI CCM kata ya Vingunguti wilayani Ilala ,kimeangusha Mbuyu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)kufuatia aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA kata ya Vingunguti DAVID ANSELIM PAUL kujiunga na Chama Tawala cha Mapinduzi katika mkutano wa hadhara.

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA ) DAVID PAUL alijiunga na chama cha Mapinduzi CCM katika mkutano wa kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya chama ambayo imewasilishwa na Meya wa Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam Omary Kumbilamoto ,ambaye ni Diwani wa kata ya Vingunguti.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.......USISAHAU KUSUBSCRIBE

Post a Comment

0 Comments