Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais IKULU Asema Taarifa Hii Inayosambazwa Mitandaoni ni ya UONGO, Ipuuzwe

Hii  Taarifa (katika picha)  inasambazwa  mitandaoni  kwamba  Imetoka  IKULU. Mkurugenzi  wa  Mawasiliano ya  Rais ,Gerson Msigwa  kasema  ni  ya  uongo, imetengenezwa  na  watu  wenye  nia  ovu  hivyo  ipuuzwe..