VIDEO: DC Aagiza nyumba zaidi ya 200 kubomolewa Dar bila fidia

Mkuu wa Wilaya ya Ilala Jijini Dar es salaam Sophia Mjema ameagiza  nyumba zaidi ya 200 zilizopo katika eneo la Majohe Jijini humo kubomolewa mara moja na kwamba serikali haitauhusika na malipo ya fidia yoyote, 

"Wamiliki wa nyumba hizo ndio wanaotakiwa kufanya hivyo bila shurti" Alisisitiza

TAZAMA FULL VIDEO HAPO CHINI...
DC Mjema amefikia uamuzi huo baada ya kutembelea wakazi eneo hilo, ambao walimpa taarifa kwamba Ujenzi wa Nyumba hizo umefanywa kinyume sheria kwakuwa ziko kwenye mkondo wa maji jamba ambalo linasababisha maji kufurika na kuharibu miundombinu hususani barabara ya Pugu- Majohe yenye urefu wa Kilometa saba.
Mpya zaidi Nzee zaidi