Mwakyembe atoa salamu za pole kwa Clouds Media Group
byMuungwana Blog 2-
0
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe atuma salamu za pole kwa kituo cha redio cha Clouds kwa ajali ya moto > Aagiza taasisi zinazohusika kufanya uchunguzi wa kina kubaini chanzo cha tatizo