Mbwa wa Nassari azikwa, Lema ahudhuria mazishi

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema mapema leo asubuhi na Mbunge wa Arumeru Mashariki,  Joshua Nassari, na waombolezaji wengine wachache wamehudhuria mazishi ya mbwa wa Nassari aliyeuawa na watu wasiojulikana baada ya kuvamiwa nyumbani kwake na kumpiga risasi.

Mazishi hayo yamefanyika huko huko Arumeru.Mbwa huyo alikuwa ni mlinzi wa Nassari nyumbani kwake ambapo amesikitishwa na kifo cha mnyama huyo aliyekuwa rafiki wake wa karibu.


Mpya zaidi Nzee zaidi