Nyumbani Neymar aja namuonekano mpya byMuungwana Blog 2 -3/18/2018 09:00:00 PM 0 Nyota wa Brazil, Neymar ameposti picha hii yenye kuonyesha mtindo wake mpya wa nywele kwenye Instagram. Neymar ni majeruhi kwa sasa na yupo mapumziko nyumbani kwao baada ya kufanyiwa upasuaji Facebook Twitter