VIDEO: Full Video Waziri akitoa agizo kwa halmashauri zote nchini

Waziri wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu Jenista Joakim Mhagama  ametoa wito kwa halmashauri za Wilaya zote nchini kuhakikisha wanajifunza mbinu za kuimarisha miundombinu
ya barabara  ili kutengeneza mapito salama ya watoto wadogo hasa walemavu.


TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.............USISAHAU KUSUBSCRIBE 

Mpya zaidi Nzee zaidi