Vumbi kali laathiri ratiba ya shule

Vumbi kali iliosababishwa na  hali mbaya ya hewa na madaliko yake  imeathiri kwa kiasi kikubwa ratiba za shule  na kuwazuia wanafunzi kuhudhuria mashuleni.

Vumbi hiyo imepelekea  shule katika eneo hilo kufungwa.

Taarifa zizlitolewa na kituo cha runinga zimesema kuwa shule  zinazopatikana Tarib  Kusini-Magharibi mwa Saudi Arabia zimmefungwa ikiwemo chuo kikuu cha el Baha. shule nyingi nchini humo zimefungwa kutokana na vumbi kali.
Mpya zaidi Nzee zaidi