VIDEO: Mastaa walivyojitokeza Kumtakia Happy Birthday Mtoto wa Diamond


Mwanamuziki Daimond leo amempa ujumbe mzito mtoto wake Daylan aliyezaa na mwanamitindo Hamisa Mobetto ambaye leo ni siku yake ya kuzaliwa ambapo anatimiza mwaka mmoja.

Lakini katika hilo wasanii wengine wamejitokeza kuunga mkono kwa kumtakia heri ya kuzaliwa mtoto wa diamond ambapo ni pamoja na ndugu zake Diamond chakushangaza mama Mzazi wa msanii huyo alitupia mbali kwa kukaa kimya.
Kupitia ukrasa wake wa instagram daimond ameonyesha mahaba  mazito mwanaye huyo na kumuandikia ujumbe huu


TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI............USISAHAU KUSUBSCRIBE.................

Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items