CHADEMA watuma salamu za pole kwa familia ya Ruge Mutahaba
byMuungwana Blog 3-
0
Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA) limetuma salamu za Pole kufuatia kifo cha Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji Clouds Media Group (CMG), Ruge Mutahaba kilichotokea siku ya jana.