Picha:Semina ya Umoja wa Wabunge Wanawake Tanzania
byMuungwana Blog 3-
0
Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (katikati) akizungumza na Umoja wa Wabunge wanawake Tanzania (TWPG) wakati wa semina ya mafunzo ya malezi iliyofanyika leo katika ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.