Picha: Mafundi umeme wapata ajali, watatu wahofiwa kufariki


Kumetokea ajali ya basi dogo lililokuwa limebeba Wafanyakazi wa Kambi ya Wachina wanaofanya kazi ya ujenzi wa Mradi wa Umeme wa Rusumo wilayani Ngara mkoani Kagera leo April 02/2019 majira ya asubuhi.

Taarifa zinaeleza watu watatu wanasadikiwa kufariki na majeruhi wamekimbizwa Hospitali ya Murugwanza na Nyamiaga kwa matibabu zaidi.



Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items