VIDEO: Mbunge CUF aibuka na kutoa msimamo wake mbele ya wananchi


Mbunge wa viti Maalum (CUF) Mkoani Tanga, Sonia Magogo amewataka wananchi mkoani humo kutoyumbishwa na wanasiasa wanao wadanganywa kwa kuwapa kitu kidogo ili wabadilishe misimamo yao ambapo pia amewatupia dongo wanaoirushia mawe CUF.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE

Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items