VIDEO: RC Makonda aja na kampeni ya Wajane, apanga kufanya jambo zito Mlimani City


Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, ameongea na waandishi wa habari ofisini kwake Jumanne hii na kutangaza kuandaa kampeni mpya ya kuwasaidia Wajane ambao itafanyika April 4  ya mwaka huu katika ukumbi wa Mlimani City kwa ajili ya kusikiliza matatizo mbali mbali ambayo wanakumbana nayo kwenye familia.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE
Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items