F Wizara ya Afya yatoa taarifa hii kuhusu ugonjwa wa dengue | Muungwana BLOG

Wizara ya Afya yatoa taarifa hii kuhusu ugonjwa wa dengue


Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto inapenda kutoa taarifa kwa Umma kuwa ugonjwa wa homa ya dengue bado upo nchini hususani katika Mikoa ya Dar es salaam na Tanga