VIDEO: Kocha wa Simba na Mtibwa Sugar watambiana mechi ya nusu fainali U20
byMuungwana Blog 1-
0
Baada ya kutinga hatua ya nusu fainali, kocha wa Simba Niko Kiondo na mwenzake wa Mtibwa Sugar, Vicent Barnabas wametambiana kuelerkea mchezo huo ambao utapigwa Jumatano hii majira ya saa 1 jioni katika uwanja wa Azam Complex, Chamanzi.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE