F Rais Magufuli ang'ara kwenye Jarida la Forbes Africa | Muungwana BLOG
https://c2p.cleverwebserver.com/dashboard/6a0bec4b-79ba-11ef-ad2b-06f0639468d1

Rais Magufuli ang'ara kwenye Jarida la Forbes Africa


Jarida la FORBES AFRICA laeleza mafanikio ya Rais John Pombe Magufuli, lamtaja kuwa Rais mwanamageuzi, mleta maendeleo. Afanya mahojiano maalum kueleza safari ya mageuzi Tanzania.