VIDEO: RASMI: Yanga yamsajili mshambuliaji hatari Zambia, kazi ndio imeanza


Klabu ya soka ya Yanga imetangaza kumsajili mshambuliaji hatari Maybin Kalengo kutoka Zesco United ya Zambia. Kalengo amesaini mkataba wa miaka miwili kuwatumikia mabingwa hao wa kihistoria.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE 
Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items