VIDEO: Kocha wa JKT Tanzania aukubali mziki wa Simba/ "Hatukuwa dhaifu"
byMuungwana Blog 1-
0
Kocha wa JKT Tanzania Abdallah Mohammed maarufu kama Bares, ameonekana kukikubali kikosi cha Simba baada ya kufungwa mabao 3-1 kwenye mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE