VIDEO: Tazama magoli yote JKT Tanzania (1-3) Simba SC, Kagere ni moto
byMuungwana Blog 1-
0
Klabu ya soka ya Simba SC imefanikiwa kuibuka na ushindi wa magoli 3-1 kwenye mechi yao ya kwanza ya ligi kuu msimu wa 2019/20 dhidi ya JKT Tanzania. Magoli ya Simba yamefungwa na Meddie Kagere (Amefunga magoli mwawili) na Miraji Omary.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE