VIDEO: Meddie Kagere alivyowaongoza wenzake wa Simba kutinga uwanja wa Uhuru kuwavaa Mtibwa Sugar
byMuungwana Blog 1-
0
Mshambuliaji Meddie Kagere amewaongoza wachezaji wenzake wa Simba SC kutinga katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam kwaajili ya kuwavaa Mtibwa Sugar kwenye mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE