Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi, Kangi Lugola, amemuonya mwanaharakati huru Cyprian Musiba katika harakati zake asiitaje Serikali na badala yake afanye harakati hizo binafsi bila kuitaja Serikali.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBSCRIBE