VIDEO: Serikali yamkana Musiba, Kangi Lugola ampa onyo /aponzwa na kauli zake


Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi, Kangi Lugola, amemuonya mwanaharakati  huru Cyprian Musiba katika harakati zake asiitaje Serikali na badala yake afanye harakati hizo binafsi bila kuitaja Serikali.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBSCRIBE