Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dkt Maulid Madeni amemkamata Bwana Hugo Zakaria ambaye alikuwa anatumika kukatia wafanyabiashara leseni feki ambazo ni kinyume cha sheria na mpaka sasa amemkabidhi mikononi mwa polisi
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...USIKOSE KU SUBSCRIBE