VIDEO: Ujenzi wa daraja la Salender wamkosha DC


Ujenzi wa daraja la Salender unaoendelea jijini Dar es salaam umefikia zaidi ya asilimia 16 huku jumla ya Watanzania 402 wamepata ajira ya kufanya kazi katika ujenzi huo.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBSCRIBE