Nyumbani Liverpool yapata pigo kwenye nafasi ya kiungo byMuungwana Blog 2 -11/29/2019 06:00:00 PM 0 Liverpool imethibitisha kuwa kiungo wake Fabinho atakua nje ya dimba hadi mwakani baada ya kuumia enka. Raia huyo wa Brazil aliumia kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Napoli, mchezo ulioisha kwa sare ya 1-1. Facebook Twitter