Watu watatu wafariki katika ajali ya ndege ndogo katika jimbo la Texas nchini Marekani.
Watu watatu waripotiwa kufariki katika ajli ya ndege ndogo iliotokea katika jimbo la Texas nchini Marekani.
Taarifa zilizotolewa kuhusu ajalih hiyo ni kwamba itilafu iliotokea katika injini ya ndege hiyo ndio sababu kubwa iliopelekea ajali hiyo.
Ndege hiyo ilikuwa akijielekeza katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa mjini Texas.