Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, katika Mkutano wake maalumu wa Baraza leo Alhamisi, tarehe 23 Januari 2020, limejadili na kuidhinisha kwa kauli moja bajeti yake ya Tshs 170, 918,524,100/= kwa mwaka wa fedha 2020/2021 ambapo Tshs.42,951,312, 000/= ni za Mapato ya ndani ya Manispaa na Tshs. 127,967,212,100/= ni Mapato ya Ruzuku kutoka Serikali kuu zikijumuisha Tshs. 57,018,968,680/= kwa ajili ya mishahara,Tshs.1,689,501,000/= za matumizi mengineyo na Tshs. 69,258,742,520, /= za miradi ya maendeleo.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.......USISAHAU KUSUBSCRIBE