VIDEO: Mambo yaliyomuondoa Kangi Lugola yawekwa hadharani


Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amekubali ombi la kujiuzulu kwenye nafasi yake ya Uwaziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Kangi Lugola kutokana na sababu mbalimbali.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.......USISAHAU KUSUBSCRIBE