Watu 562 wamekwishafariki nchini Ufaransa huku wengÅŸne 1525 wakiwa maututi hospitali.
Nchini Ufaransa watu 562 wamekwishafariki na wengine 112 wamefariki katika muda wa masaa 24.
Idadi ya watu waliofariki nchini humo imefikia watu 562 amefahamisha waziri wa afya Jumamosi.
Watu 6172 wamelazwa hospitali huku wengine 1525 wakiwa katika hali maututi.
Muhusika katika idara ya afya nchini Ufaransa amezungumza na wanahabari na kusema kuwa corona imekuwa janga kubwa hivyo basi hakuna budi kuongeza juhudi za kukabiliana na virusi hivyo kwa hali na mali.
Hayo ameyazungumza Jumamosi katika mkutano kuhusu Covid-19.