Meya wa Manispaa ya Ilala jijini Dar es salaam, Omary Kumbilamoto amepokea msada wa sabuni na Sanitize wenye thamani zaidi ya shilingi milioni 8 kutoka kwa Jumuiya ya Khoja Shia Ithna-Asheri kwa ajili ya manispaa hiyo ili kusaidi kupambana na janga la Corona ambalo ni tishio duniani kwa sasa.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBSCRIBE
