“Huwezi kuwa una mji wako halafu unapangiwa la kufanya, Mzee wetu wetu Kikwete alisema la kuambiwa changanya na lako, haiwezekani ukiambiwa jifungie,unajifungia chumbani wakati hauna chakula, tutaenda tunavyotaka, hili ni Taifa huru, Taifa linalojiamini, tumepambana na mengi”-JPM